بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمن الرَّحيم
Kwa Jina La Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema (Duniani) Mwenye Kurehemu (Akhera)
Hakika sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, tunamsifu, tunamuomba msaada na tunamuomba maghfirah, tunamuomba Atuhifadhi na shari za nafsi zetu, na maovu ya matendo yetu. Anayemuongoza Mwenyezi Mungu hapana wa kumpoteza, na Anayempoteza, hapana wa wa kumuongoza. Nakiri kwamba, hapana apasaye kuabudiwa ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke Yake, hana mshirika, na ninakiri kwamba Muhammad ni mja Wake na ni Mtume Wake. Mwenyezi Mungu Amrehemu na Awarehemu jamaa zake na Maswahaba zake na wanaowafuata hao kwa wema mpaka siku ya malipo na Amsalimishe kwa amani nyingi.
Baada ya yaliyotangulia huu ni ufupi (Mukhtasar) wa kitabu kiitwacho “HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR AL-KITAAB WA SUNNAH”
Ninamuomba Mwenyezi Mungu kwa majina Yake mazuri, na sifa Zake zilizo juu, Ajaaliye kazi hii kuwa, imesafika lengo lake, kwa kutaka radhi zake Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Aninufaishe kwa hayo katika uhai wangu huu, na baada ya kufa, na Amnufaishe atakayekisoma, kukichapisha, au aliyekuwa ni sababu ya kukitawanya, hakika Yeye Mwenyezi Mungu Ndiye Muweza.
Mwenyezi Mungu Amrehemu Mtume wetu Muhammad صلى الله عليه وسلم na Aali zake na Maswahaba wake na wanaowafuata hao, kwa wema mpaka siku ya malipo.بسم الله الرحمن الرحيم
Dalam Nama Allah Yang Maha Pemurah (World) Maha Penyayang (selanjutnya)
Sesungguhnya segala puji bagi Allah, kami memuji, kami meminta bantuan dan kami meminta maghfirah, kami meminta Atuhifadhi dari kejahatan jiwa kami dan kejahatan dari tindakan kita. Anayemuongoza Allah tidak ada yang kalah, dan Anayempoteza, tidak ada panduan. Aku mengakui bahwa tidak ada Tuhan selain Allah apasaye, keadaan sendirian, ada partner, dan saya mengakui bahwa Muhammad adalah hamba-Nya dan Rasul-Nya. Allah memberkati dan menunjukkan kasih kepada keluarga dan teman-temannya dan orang-orang yang mengikuti mereka dalam kebaikan sampai hari kiamat dan Amsalimishe paling damai.
Setelah prolog ini singkat (pembatasan) dari buku "HISWN AL-MUSLIM MIN ADHKAAR Kitaab al-Sunnah"
Ninamuomba Allah dengan Nama-Nya menyenangkan, dan pujian dari atas, Ajaaliye bekerja ini akan menjadi, imesafika tujuannya, untuk kesenangan Mahakuasa Tuhan Yang Maha Esa, dan Aninufaishe dengan itu dalam hidup saya, ini, dan setelah kematiannya, dan Amnufaishe akan membaca, kukichapisha , atau yang merupakan penyebab kukitawanya, sesungguhnya Dia adalah Allah, yang Kuasa.
Allah memberkati kita Nabi Muhammad صلى الله عليه وسلم dan Aal dan teman-temannya dan orang-orang yang mengikuti mereka, untuk kebaikan sampai hari kiamat.